Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

ARSENAL ILIYOKUWA NA KIKOSI CHENYE THAMANI YA PAUNDI 66.8M YAENGULIWA NA BRADFORD YENYE KIKOSI CHENYE THAMANI YA PAUNDI 7,500 KOMBE LA CAPITAL ONE

Tofauti ya kipato wakati mwingine si chochote linapokuja suala la Mpira wa Miguu .Kwa wale wafuatiliaji wa Kombe la Capital One jana Klabu ya Arsenal ilipotupia virago na kushindwa kuingia Nusu Fainali baada ya kutoshana nguvu ya goli 1-1 na baadae kuondolewa kwa changamoto ya mikwaju ya penati Bradford 3-2 Arsenal.

Shootout
Kibao kikionyesha majina ya wachezaji waliokosa na kupata penati zao kwa kila timu na kupelekea Arsenal kuondolewa katika mashindano hayo.

Ushindi huu umeshangaza kutokana na tofauti kubwa iliyopo kati ya Bradford na Arsenal katika vikosi vilivyocheza kwenye michezo huo ambapo kikosi cha Arsenal kilichocheza mchezo huo ulikuwa na jumla ya thamani ya paundi 66.8Milioni huku waliokuwa wanacheza nao Bradford kikosi chao kilikuwa na jumla ya paundi 7,500 lakini wachezaji hao hawakujali kama wanacheza na mamilionea na kuwa ondoa kwenye Mashindano hayo.

Chanzo:Daily mail.
 
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top