Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

BALOZI MUJUMA AMPONGEZA MWANDISHI WA TBC

Mhe. Balozi Grace Mujuma (wa pili kushoto), Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Zambia na Maafisa wa Ubalozi wamempongeza Bi. Kulthum Ally (katikati), Mwandishi wa Habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), kwa kutumia taaluma ya uandishi wa habari kuhabarisha umma juu ya masuala yanayohusu Watanzania  wanaoishi nchini Zambia.  Wengine katika picha ni Bw. Samuel Munatta, Bw. Jeswald majuva na Bw. Huddy Kiangi.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top