Mwanamitindo bora wa mwaka 2012 Catherine Masumbiga (katikati) akiwa
kwenye picha ya pamoja na Unique Model Photogenic Elizabeth Pertty
(kushoto) na Unique Model Talent Vestina Charles mara baada ya
kutangazwa kwa mshindi.
Mwanamitindo wa mwaka 2012 Catherine Masumbiga (katikati) amepatikana
jana usiku kwenye shindano lililofanyika kwenye Klabu ya New Maisha
jijini Dar es Salaam akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi wa pili
Cesilia Michael (kushoto) na mshindi watatu Amina Ayubu.
Washiriki waliongia tano bora.
Washiriki waliongia tano bora.
Majaji wa shindano hilo kutoka kushoto ni Gymkhana Hilal kutoka Paka Wear , Asia Idarous na Martine Kadinda.
Washiriki 12 wa shindano hilo wakiwa wamejipanga tayari kusubiri kutangazwa mshindi.
Kwa taswira zaidi tembelea FatherKidevu.Blog
Post a Comment