Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MATUKIO MBALI MBALI YA SHEREHE ZA MIAKA 51 YA UHURU

Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mama Maria Nyerere kwenye maadhimisho ya miaka 51 ya Uhuru.

Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakipiga Gwaride kwa mwendo wa haraka.

Gozibety Mbwele (3)akipiga ngoma kwa umakini na kuwa kivutio cha hali ya juu,mbele yake ni Nyamburi Mganga (5) akicheza kwa umaridadi, watoto hawa ni wasanii kutoka kundi la Utandawazi,Mwanza

Kikundi cha ngoma kutoka Rwanda kikitoa burudani ya kipekee uwanjani hapo.

Watoto hodari wakishiriki katika halaiki kwenye sherehe ya kuadhimisha miaka 51 ya Uhuru.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwatambulisha wageni waalikwa kutoka mataifa rafiki waliofika kushuhudia sherehe za miaka 51 ya Uhuru.Picha na CCM Blog 
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top