 |
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mama Maria Nyerere kwenye maadhimisho ya miaka 51 ya Uhuru.
|
|
 |
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakipiga Gwaride kwa mwendo wa haraka. |
 |
Gozibety
Mbwele (3)akipiga ngoma kwa umakini na kuwa kivutio cha hali ya
juu,mbele yake ni Nyamburi Mganga (5) akicheza kwa umaridadi, watoto
hawa ni wasanii kutoka kundi la Utandawazi,Mwanza |
 |
Kikundi cha ngoma kutoka Rwanda kikitoa burudani ya kipekee uwanjani hapo. |
 |
Watoto hodari wakishiriki katika halaiki kwenye sherehe ya kuadhimisha miaka 51 ya Uhuru. |
 |
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwatambulisha wageni waalikwa kutoka mataifa
rafiki waliofika kushuhudia sherehe za miaka 51 ya Uhuru.Picha na CCM Blog | |
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Filed Under:
Jamii
on Monday, December 10, 2012
Post a Comment