Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MKURUGENZI WA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA AKUTANA NA MWAKILISHI MPYA WA UNHCR NCHINI

Balozi Celestine Mushy (kulia), Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwa katika mazungumzo na Bibi Joyce Mends-Cole, Mwakilishi mpya wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) hapa nchini. Bibi Mends-Cole alifika Wizarani kwa madhumuni ya kujitambulisha.
Bibi Mends-Cole akizungumza na Balozi Mushy alipofika kujitambulisha.
Balozi Mushy akifurahia jambo na Bibi Mends-Cole. Mwingine katika picha ni Bi. Ramla Khamis, Afisa Mambo ya Nje katika Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top