Nimesoma taarifa ya
serikali iliyotolewa na Waziri Prof. Muhongo kufafanua kuhusu miradi ya
utafutaji na uvunaji wa gesi asili nchini. Hatimaye serikali imeanza kutoa
ufafanuzi suala ambalo ilikwepa kulifanya bungeni hata baada ya kuhoji 2011 na
2012. Hata hivyo ufafanuzi huo haujitoshelezi kwa kuwa kuna ukweli umeendelea
kufichwa na upotoshaji umejirudia kama ambavyo nitafafanua katika kauli yangu
nitakayotoa siku chache zijazo kwa kuwa leo niko katikati ya kushughulikia usiri
na udhaifu katika mikataba na miradi ya Maji jijini Dar es Salaam.
Maslahi ya Umma
Kwanza
John
Mnyika (MB)
Waziri
Kivuli, Nishati na Madini
03
Januari 2013
Post a Comment