Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MAALIM SEIF ASHUHUDIA JAMHURI IKISAMBARATISHWA NA SIMBA

Makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharrif Hamad akisalimiana na Nahodha wa Simba SC, Shomary Kapombe kabla ya mchezo wa jana wa ufunguzi rasmi wa mashindano ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Jamhuri ya Pemba kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Simba ilishinda 4-2.

Makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar, Seif Sharrif Hamad akisalimiana na kiungo wa Simba SC, Kiggi Makassy, nyuma yake ni Haruna Moshi na Paul Ngalema kabla ya mchezo wa jana wa ufunguzi rasmi wa mashindano ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Jamhuri ya Pemba kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Simba ilishinda 4-2.

Mwenyekiti wa ZFA, Aman Ibrahim Makungu akisalimiana na mshambuliaji wa Simba, Felix Sunzu

Makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar, Seif Sharrif Hamad akipiga penalti jana katika ufunguzi rasmi wa mashindano ya Kombe la Mapinduzi kabla ya mechi kati ya Simba SC na Jamhuri ya Pemba kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Simba ilishinda 4-2.

Kikosi chs Simba SC jana

Mchezaji wa Jamhuri akigombea mpira na mchezaji wa Simba

Mwinyi Kazimoto akimtoka mchezaji wa Jamhuri

Miraj Adam akipanda kusaidia mashambulizi

Shomary Kapombe akipambana na mchezaji wa Jamhuri

Mchezaji wa Jamhuri akipambana na wachezaji wa Simba

KIpa Jaffar Said wa Jamhuri akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba SC, Felix Sunzu huku akilindwa na beki wake

Kizazaa langoni mwa Jamhuri

Kiungo wa Simba, Haruna Chanongo akiifungia Simba bao la kwanza kwa kichwa 

Chanongo akimshukuru Kiggi Makassy kwa kupiga kona nzuri aliyoiunganisha nyavuni kwa kichwa (hapo juu)

Simba SC wakishangilia ushindi wao jana.Picha na Bongo Staz Blog
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top