Shuhuli maalimu alioandalia na wanaJumuiya ya DMV ya kumuanga rasmi
Mhe Mwanaidi Maajar kwa kazi nzuri ya ushirikiano na umoja aliotoa
katika kuwaunganisha waTanzania waishio hapa DMV nchini Marekani kwa
ukarimu wake mkubwa Jumuiya ya waTanzania DMV pia imemtunukia zawadi
mbali mbali kama shukurani kutoka kwa Jumuiya hiyo .

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa nchi za Marekani na Mexico
Mhe. Mwanaidi Sinare Maajar akionekana kubeba zawaidi aliyotunukiwa na
Jumuiya ya waTanzania DMV Nchini Marekani

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico Mhe.
Mwanaidi akiwahutubia wanaJumuiya ya Tanzania DMV ndani ya ukumbi wa
Campus Dr College Park Maryland Nchini Marekani

Uongozi mzima wa Jumuiya ya waTanzania DMV ukiwa pamoja na ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani na Mexico kwenye meza ya pamoja

Watanzania mbali mbali kutoka DMV waliojitokeza katika hafla ya kumuanga Balozi Mhe. Mwanaidi Maajar

Mh.Naibu Balozi wa Tanzania Nchini Marekani na Mexico,Mama Munanka,
akiwa makini kumsikiliza, Mhe Balozi Maajar (Kulia) mshereheshaji wa
hafla hiyo MC Mayor Mlima akisherehesha!

Mwanakamati wa Jumuiya Hamza Mwamoyo alipokua akifungua rasmi hafla hiyo
ilioandalia na Jumuiya ya waTanzania DMV katika ukumbi wa Campus Dr
College Park Maryland Nchini Marekani.

Brg. General Maganga pia aliagwa kwa kukabiziwa zawadi na Jumuiya ya
waTanzania DMV kwa ushirikiano wa hali na mali katika muda wake wote
alioishi hapa DMV alimkua mmoja wa washirikia katika hafla zote za
waTanzania waishio hapa DMV

Wanakamati walioshuhulikia mpango mzima wa hafla ya kuagwa rasmi kwa
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico
Mhe. Mwanaidi.
PICHA KWA HISANI YA http://swahilivilla.blogspot.com
Post a Comment