Watu wakiwa kwenye foleni kusubiri lifti kwa ajili ya kwenda ofisi
mbalimbali katika jengo la Kitega uchumi cha Shirika la Bima, jijini Dar
es salaam leo. Huduma ya lifti kwenye jengo hilo imekuwa hafifu kidogo
kutokana na kutumika lifiti moja kutokana na nyingine kuwa kwenye
matengenezo. Jengo hilo lina ghorofa zaidi ya kumi.
Picha na Daily Nkoromo Blog.

Post a Comment