Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

NAIBU WAZIRI AFUNGUA MKUTANO KUHUSU USHIRIKIANO WA INDIA NA AFRIKA.

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim (katikati) (Mb.) akifungua mkutano wa siku mbili ulioaandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa masuala  ya Kiuchumi na Kijamiii (ESRF) ya hapa nchini kuhusu mahusiano kati ya India na Afrika. Mkutano huo ambao uliwahusisha wasomi kutoka Vyuo Vikuu mbalimbali duniani ulifanyika katika Hoteli ya Protea Courtyard Jijini Dar es Salaam.

Mhe. Maalim (wa nne kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa mkutano kuhusu ushirikiano kati ya India na Afrika.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top