


Mkuu
wa Kitengo cha Usalama, CHADEMA, Wilfred Rwakatare, akionyesha
vidole viwili huku akiwa chini ya ulinzi wa polisi wakati alipofikishwa
kwenye mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam jana nyuma yake ambae nae
amenyosha vidole viwili juu ni Joseph Ludovic Rwezaura wote kwa pamoja
wamefunguliwa Mashtaka

Mkuu wa Kitengo cha Usalama, CHADEMA, Wilfred Rwakatare, akionyesha
vidole viwili akiwa na Joseph Ludovic Rwezaura(Mwenye Flana ya Mistari) wote kwa pamoja wamefunguliwa Mashtaka

Sehemu ya Wafuasi wa Chadema Walifika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Willfred Lwakatare (wapili
kulia) na Ludovick Rwezahura (kulia) wakiondolewa katika Mahakama ya
Hakimu Mkazi Kisutu na askari kuelekea kupanda gari kwa ajili ya
kurudishwa rumande, Dar es Salaam, jana.


Mbunge
wa Singida Magharibi-Chadema na Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani
Bungeni Tundu Lissu(Kulia)akijadiliana Jambo na Mbunge wa Arusha
Mjini_Chadema Godless Lema (Mwenye Shati Jeupe Kati)Nyuma Mwenye Shati
la Mistari ni Vicent Nyerere Mbunge wa Chadema Musoma Mjini.Picha na
Chadema na Mdau Michaeal Jamson
Post a Comment