Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

TASWIRA:RWAKATARE NA LUDOVIC WALIPOFIKISHWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM



Mkuu wa Kitengo cha Usalama, CHADEMA, Wilfred Rwakatare, akionyesha vidole viwili huku akiwa chini ya ulinzi wa polisi wakati alipofikishwa kwenye mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam jana nyuma yake ambae nae amenyosha vidole viwili juu ni Joseph Ludovic Rwezaura wote kwa pamoja wamefunguliwa Mashtaka
 Mkuu wa Kitengo cha Usalama, CHADEMA, Wilfred Rwakatare, akionyesha vidole viwili akiwa na Joseph Ludovic Rwezaura(Mwenye Flana ya Mistari) wote kwa pamoja wamefunguliwa Mashtaka
 Sehemu ya Wafuasi wa Chadema Walifika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam
 Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Willfred Lwakatare (wapili kulia) na Ludovick Rwezahura (kulia) wakiondolewa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na askari kuelekea kupanda gari kwa ajili ya kurudishwa rumande, Dar es Salaam, jana.
Mbunge wa Singida Magharibi-Chadema  na Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni Tundu Lissu(Kulia)akijadiliana Jambo na Mbunge wa Arusha Mjini_Chadema Godless Lema (Mwenye Shati Jeupe Kati)Nyuma Mwenye Shati la Mistari ni Vicent Nyerere Mbunge wa Chadema Musoma Mjini.Picha na Chadema na Mdau Michaeal Jamson 
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top