Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AZINDUA MIRADI YA MAENDELEO NAMTUMBO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa machinjio ya kisasa katika mji mdogo wa Namtumbo akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 16, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) IMG_0111 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizundua  mitambo ya kuzalisha umeme katika mji mdogo wa Namtumbo akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Julai 16, 2013. Kushoto ni Naibu Wairi wa Nishati na Madini Stephen Masele. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri  Mkuu Mizengo Pinda akiwashukuru wazee wa Mji Mdogo wa Namtumbo bada ya kutawazwa kuwa moja wa wazee wa mji huo katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa michezo  Julai 16, 2013. Alikuwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu) IMG_0312 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na mkulima stadi  wa Namtumbo, Bosco Luambano ambaye alimzawadia Waziri Mkuu mikungu miwili ya ndizi katika mkutano wa hadhara  katika mji mdogo wa Namtumbo. Alikuwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top