Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

EDINSON CAVANI ATUA PSG

 Edinson Cavani akiwa ameshikilia jezi ya PSG baada ya kusaini  kwa Pauni Milioni 55kuichezea klabu hiyo.
Cavani(kushoto) na Mwenyekiti wa PSG, Nasser Al-Khelaifi wa Qatar wakati akitambulishwa mbele ya waandishi wa habari hiyo jana baada ya kusaini kuichezea klabu ya PSG.
.... 
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 26 anayesajiliwa kwa bei mbaya zaidi majira haya ya joto, anaungana na wachezaji wengine bora waliosajiliwa awali na timu hiyo, Zlatan Ibrahimovic, Marco Verratti, Ezequiel Lavezzi, Lucas Moura, Javier Pastore na Thiago Silva.
Cavani anatarajiwa kutengeneza pacha kali ya ushambuliaji kwa pamoja na Ibrahimovic, ambaye alishinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Ligue 1 baada ya kufunga mabao 30 msimu uliopita.
Kocha mpya wa PSG, Laurent Blanc pia atatumai Cavani na mchezeshaji Lavezzi wataendeleza ushirkkiano wao mzuri waliokuwa nao Napoli.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top