Ndege za kivita nazo zikipita angani .
Mwanajeshi akitua na mwanvuli kutoka angani mita 4000 kutoka usawa wa bahari
Baadhi ya zana za kivita za kisasa zikipitishwa mbele ya Mhe. Rais Kikwete
na wageni waalikwa ikiwa ni moja ya kusherehea miaka 50 ya Muungano wa
Tanganyika na Zanzibar
Kikosi cha Makomando wakionesha mbele ya Mhe. Rais, wageni waalikwa na wananchi mafunzo waliyopitia
Watoto
wa Halaiki wakionesha umbo la picha za Rais wa Kikwete na Rais Shein na
maneno yanayosomeka Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Watoto kutoka Tanzania Bara na Zanziba wakionesha utaalamu wa kucheza ngoma
Kikundi
cha Wasanii mbalimbali wakiimba wimbo maalum wa pamoja kuhusu miaka 50
ya Muungano.
Picha Reginald Philip na Ofisi ya Makamu wa Rais
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Filed Under:
Jamii
on Monday, April 28, 2014
Post a Comment