Komandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), akiwa ameruka kwa
miguu yote hewani na kuvunja mbao zilizokuwa zimeshikwa na wenzake
wakati wa maonyesho ya kijeshi ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano
kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam jana.
Picha na Emmanuel Herman
Post a Comment