Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

TASWIRA KUTOKA SIASA ZA NIA

Taswira mbalimbali za WanaCCM wa Mji wa Kibaha Mjini na maeneo ya jirani katika zoezi la kupokea orodha ya majini ya WanaCCM waliomdamini Mh. Edward Lowassa.
WanaCCM wa Kinondoni wakisikiliza kwa Makini Salamu za Mh. Lowassa.
Dereva akipuliza tarumbeta kuonyesha furaha yake kwa Mh. Lowassa.
 
Jiji la Dar leo ilikuwa ni shangwe tupu kwa kila alieweza kumuona Mh. Lowassa akipita kwenye njia zilizo jirani na maeneo yao ya kazi.
Sehemu ya Vijana wa CCM wakifatilia kwa makini salam za Mh. Lowassa.
 
 Kwa Hisani ya Haki Ngowi Blog
 
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top