Waziri
wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyarandu akizungumza na waandishi wa
habari kuhusiana na uzinduzi wa kampeni mpya ya kupambana na ujangilli
wa Tembo uliofanyika katika hoteli ya Sea Cliff jijini Dar es Salaam
Juni 18, 2015. Picha zote na CATHBERT KAJUNA WA KAJUNASON BLOG.
Balozi
wa Mpya wa Kampeni ya Kupambana na Ujangili wa Tembo, Msanii wa mziki
wa kizazi kipya Ali kiba akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na
uzinduzi wa kampeni mpya ya kupambana na ujangilli wa Tembo uliofanyika
katika hoteli ya Sea Cliff jijini Dar es Salaam Juni 18, 2015.
Afisa
Mtendaji Mkuu wa African Wildlife Foundation, Dk. Patrick Bergin
akizungumza katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni ya sifa ya wanyamapori
katika hotel ya Sea Cliff jijini Dar es Salaam Juni 18, 2015.
Sheikh
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhaji Mussa Salum akizungumza na
waandishi wa habari leo katika hoteli ya Sea Cliff jijini Dar es Salaam
Juni 18, 2015.
Balozi
wa Mpya wa Kampeni ya Kupambana na Ujangili wa Tembo, Msanii Jacqueline
Mengi kuhusiana na uzinduzi wa kampeni mpya ya kupambana na ujangilli
wa Tembo uliofanyika katika hoteli ya Sea Cliff jijini Dar es Salaam
Juni 18, 2015.
KWA HISANI ya Michuzi Blog
Post a Comment