Na Hamida Hassan DIAMOND upoo! Zarinah Hassan a.k.a Mama Tiffah
amechukua uamuzi mgumu wa kumvua mwanaye Tiffah ile dawa aliyokuwa
amefungwa mkononi ‘hirizi’, hali iliyowafanya watu wengi wabaki na vingi
viulizo.Awali, Tiffah alivishwa hirizi hiyo siku chache baada ya
kuzaliwa na Diamond akaizungumzia kuwa, ni utamaduni wa kawaida ambao
kwa mila za Kibongo siyo tatizo. Mtoto wa staa wa muziki wa Bongo fleva
Diamond Platinumz, Tiffah.
Hata hivyo, wakati…
Hata hivyo, wakati…
GPL
Post a Comment