Kivuko cha MV Magogoni leo asubuhi kimepata hitilafu na hivyo kushindwa kufanya kazi ya kuvusha watu kutoka na kwenda Kigamboni Hali ambayo imefanya shughuli mbalimbali kusimama kutokana na kukosekana kwa huduma hiyo.
Hali hii imesababisha baadhi ya watu kutumia mitumbwi ya wavuvi kuvuka
Post a Comment