Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MAJI ya Mtera yatakiwa kutunzwa kwa mwaka mzima

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (wa kwanza kulia) akizungumza na watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mara baada ya kuwasili katika kituo cha kuzalisha umeme wa maji cha Mtera ili kukagua kituo hicho na kuzungumza na wataalam.Wa Tatu kulia ni Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli, Mhandisi Hosea Mbise), na wa Nne kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Sheria Wizara ya Nishati na Madini, Justus Mulokozi.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (katikati) akikagua kituo cha kuzalisha umeme wa maji cha Mtera mara baada ya kufanya mazungumzo na watendaji wa Tanesco wanaosimamia kituo hicho. Wa Kwanza Kushoto ni Kaimu Meneja wa Kituo cha Mtera, Eng. Manfred Mbyallu na kulia ni Meneja Uzalishaji Umeme wa Maji nchini, Antony Mbushi.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (wa kwanza kushoto waliokaa) akiwa katika chumba cha kuongozea mitambo ya uzalishaji umeme katika kituo cha kuzalisha umeme cha Kidatu mkoani Morogoro wakati alipofanya ziara katika kituo hicho. Katikati (waliokaa) ni Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli, Mhandisi Hosea Mbise na Wa Kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Sheria Wizara ya Nishati na Madini, Justus Mulokozi.
Muonekano wa Bwawa la Mtera kwa sasa, baada ya maji katika bwawa hilo kupungua kwa kiasi ambacho hakiruhsu umeme kuendelea kuzalishwa na kupelekea mitambo ya umeme kuzimwa tarehe 7 Oktoba, 2015.
Katibu Mkuu,Wizara ya Nishati na Madini,Mhandisi Omar Chambo (wa tatu kulia) akiangalia kiasi cha maji kilichopo katika Bwawa la Kidatu mkoani Morogoro ambapo kimepungua kutoka mita 450.00 hadi mita 439.48 kufikia tarehe 27 Novemba 2015.Wa kwanza kulia ni Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli, Mhandisi Hosea Mbise.
Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati na Madini (aliyevaa suti) akisikiliza maelezo kuhusu uzalishaji wa umeme katika bwawa la Kidatu mkoani Morogoro, wakati alipofanya ziara katika bwawa hilo. Anayetoa maelezo ni Meneja wa Kituo cha Kidatu, Eng. Justus Mtolera.
Kaimu Meneja Mwandamizi Uzalishaji Umeme wa Maji nchini, Lewanga Tesha (aliyesimama) akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (katikati) kuhusu uzalishaji umeme wa maji nchini katika ziara ya Katibu Mkuu kwenye vituo vya Kidatu na Mtera.Wa kwanza kushoto ni Kaimu Meneja wa Kituo cha Mtera, Eng. Manfred Mbyallu.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (wa kwanza kushoto) akipata maelezo kuhusu kipimo kinachoonyesha kima cha maji katika bwawa la kuzalisha umeme la Mtera. Bwawa hilo lilisimamisha uzalishaji tarehe 7 Oktoba 2015 kutokana na kima cha maji kuwa chini ya kiasi kinachoruhusiwa kuzalisha umeme.Anayetoa maelezo ni Kaimu Meneja wa Kituo cha Mtera, Eng. Manfred Mbyallu (wa pili kutoka kulia).
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top