Leo Rais Kikwete amefanya mazungumzo Ikulu Jijini Dar na Makamu wa kwanza wa Rais na Mgombea Urais(CUF) Maalim Seif-Zanzibar kuna mkwamo wa kisiasa baada ya Tume ya Uchaguzi(ZEC) kufuta uchaguzi uliokwishafanyika na matokeo kuanza kutangazwa
Wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mazungumzo yao IKULU
Post a Comment