Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Zuberi Kabwe ameandika katika ukurasa wake wa Facebook kuhusiana na hali ya kisiasa Zanzibar,na haya ndio aliyoandika,,,
Suala la Zanzibar lisidharauliwe kabisa.Matokeo yatangazwe na mshindi aapishwe.Hatuwezi kutazama tu katiba inakanyagwa. Vinginevyo Maakim Seif apate Jaji amwapishe na aunde Serikali mara moja na kuanza kuwatumikia Wazanzibari,serikali ya Umoja wa Kitaifa kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar.
Post a Comment