Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

BINTI YAKE RAILA ODINGA AIOMBA MSAMAHA TANZANIA



Mwanawe aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya, Raila Odinga, Rosemary, amekiri kuwa alikosea alipodai kuwa bonde la Olduvai Gorge liko Kenya ilhali liko Tanzania.
''Bonde la Oldupai ama Olduvai liko Tanzania, nimekubali kuwa nilikosea nilipokuwa nikihutubia mkutano wa viongozi wa vijana kutoka kote duniani nikiwa New York Marekani(International Young Leaders Assembly).

''Nahisi kama ambaye nimewakosea ndugu zangu kutoka Tanzania''.

''Nia yangu ilikuwa ni kusema kuwa nilipokuwa mdogo nikienda shuleni nilifunzwa kuwa fuvu la mtu wa kale lilipatikana Olorgesaiile eneo la Kajiado
Jaguar : Nisemeje,nawaombeni radhi Watanzania.

Olduvai Gorge iko salama wala haijanyakuliwa na kenya

'Katika ile hali ya undugu naomba kuwanyoshea mkono wa amani kwa sababu mwisho wa siku Afrika mashariki ndio kitovu cha ubinadamu'' alisema bi Odinga kupitia mtandao wake wa Instagram.

Tamko lake kuhusiana na bonde hilo la Olduvai (Oldupai) lililoko Tanzania lilihusiana na mada ya siku hiyo
Jaguar : cha ubinadamu'' alisema bi Odinga

Olduvai ndiko kulikopatikana vifaa vilivyotumika na watangulizi wa binadamu yapata miaka milioni moja na laki sita iliyopita (milioni 1.6)

Bi Rosemary aliomba radhi baada ya kuzomewa na maelfu ya watu kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook Instagram na Twitter wakidai aliwapotosha hadhira yake na haswa ulimwengu kwa kusema eti Olduvai ipo Kenya.

Mbunge Zitto Kabwe alikuwa amechangia mada kwa kusema kuwa Tanzania sharti izinadi vivutio vyake vya kitalii ilikuzima dhana potovu.

Aidha alidai kuwa watu wanafikiria kuwa mlima kilimanjaro uko Kenya ilahali ukweli halisi upo Tanzania sawa na mwanamuziki nyota Diamond Platnumz ambaye ni Mtanzania.

====================
Good evening! I have just been reminded of an incident which occurred while attending the IYLA conference in New York, 7 months ago. There was a Freudian slip. Apparently, our brothers and sisters from Tanzania are alarmed that I have grabbed their Olduvai Gorge. In Kenya, we equally have a beautiful prehistoric site named Olorgesailie along the way to Magadi. So, poleni sana my Tanzanian brothers and sisters, your Olduvai Gorge is safe. That being said, I would like to share the entire speech. It highlighted my efforts, which mainly focus on bringing people together. Have a fabulous evening and stay blessed


My take: Binafsi naamini bado kuna watanzania wenyewe wanaamini mlima Kilimanjaro Olduvai gorge ziko kenya kwakuwa Serikali ya Tanzania haikuwahi kufanya juhudi zozote kutangaza vivutio vyake ,unlike kenya tunaona matangazo ya kenya airways na jiji la mombasa BBC na CNN, Kenya inatumia uzembe wa Tanzania kujinufaisha na sidhani kama ni kosa kwani kuna mtu yuko tayari afe na njaa ilhali chakula anakiona?
Nguvu inayotumiwa na Watanzania kutangaza vivutio vyenu ni ndogo mnooo ukilinganisha na kenya,soon tutasema mikumi iko kenya, halafu tutaappologize kimyakimya huku tayari ulimwengu ukiamini mikumi iko Kenya.

Nisieleweke vibaya jamani ila soon tukipata platform ya kuaddres kimataifa hatutakata tamaa kusema Mikumi iko Kenya manake najua hizi nafasi Watanzania hawazipatagi sijui kwanini tunazipataga sie tuu

Thank u

falcon mombasa
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top