Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KENYA: CBK YAKANA VIKALI KUPOKEA HONGO YA SH20B KUTOKA IMPERIAL

CBK ilipinga vikali ombi la benki ya Imperial kukubaliwa kufungua biashara tena. Pia CBK ilipinga hatua ya benki hiyo kuiziua ikiendelea na uchunguzi wake.

Patrick Ngugi Njoroge
Bw Patrick Ngugi Njoroge, gavana wa Benki Kuu ya Kenya akihutubu awali. Picha/MAKTABA

“Ni wenye hisa wa benki hiyo waliojaribu kuwahonga wafanyakazi wa CBK ndipo waikubalie ifungue biashara yake tena.

Hakuna njia CBK inaweza kudai mlungula wa Sh20 bilioni wakati wachunguzi wetu waligudua kulikuwa na ufisadi wa Sh38 bilioni katika benki hiyo,” CBK imefichua.

Kwa mujibu wa CBK wenye hisa hawataathiriwa kwa njia yoyote ile hata korti ikikataa kufungua tena benki hiyo iiyowekwa chini ya mrasimu kulinda haki za wenye hisa na kutunza maslahi ya umma..

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top