|
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Rais wa
Uganda Mhe Yoweri Kaguta Museveni wakiongea na wanahabari mara baada ya
kukutana na kufanya mazungumzo kwenye Ikulu Ndogo ya Arusha jijini
Arusha leo Machi 1, 2016 mara tu baada ya Kiongozi huyo wa Uganda
kuwasili jijini humo kuhudhuria Mkutano wa !7 wa Kawaida wa Wakuu wa
nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki. |
|
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Rais wa
Uganda Mhe Yoweri Kaguta Museveni wakiongea na wanahabari mara baada ya
kukutana na kufanya mazungumzo kwenye Ikulu Ndogo ya Arusha jijini
Arusha leo Machi 1, 2016 mara tu baada ya Kiongozi huyo wa Uganda
kuwasili jijini humo kuhudhuria Mkutano wa !7 wa Kawaida wa Wakuu wa
nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki. |
|
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Rais wa
Uganda Mhe Yoweri Kaguta Museveni wakiongea na wanahabari mara baada ya
kukutana na kufanya mazungumzo kwenye Ikulu Ndogo ya Arusha jijini
Arusha leo Machi 1, 2016 mara tu baada ya Kiongozi huyo wa Uganda
kuwasili jijini humo kuhudhuria Mkutano wa !7 wa Kawaida wa Wakuu wa
nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki. |
|
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Rais wa
Uganda Mhe Yoweri Kaguta Museveni wakiongea na wanahabari mara baada ya
kukutana na kufanya mazungumzo kwenye Ikulu Ndogo ya Arusha jijini
Arusha leo Machi 1, 2016 mara tu baada ya Kiongozi huyo wa Uganda
kuwasili jijini humo kuhudhuria Mkutano wa !7 wa Kawaida wa Wakuu wa
nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki. |
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
na Rais wa Uganda Mhe Yoweri Kaguta Museveni wakiwa katika mazungumzo
kwenye Ikulu Ndogo ya Arusha jijini Arusha leo Machi 1, 2016 mara tu
baada ya Kiongozi huyo wa Uganda kuwasili jijini humo kuhudhuria Mkutano
wa !7 wa Kawaida wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki. |
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Post a Comment