Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

UBUYU MPYA MJINI TEAM ZARI WALA SAHANI MOJA NA MREMBO ANAYEDAIWA KUTOKA NA BABA TIFFAH

Kuna ubuyu mpya mjini… Na tena unaonesha umepata wateja wengi kwa muda mfupi.
12783337_589751924508095_2021141505_n
Mashabiki wa Zari the Bosslady wanamshambulia Lynn, mrembo aliyetumika kwenye video ya ‘Kwetu’ ya msanii wa WCB, Raymond kwasababu wamesikia tetesi kuwa amechepuka na Diamond Platnumz.

Tetesi hizi ni kubwa kiasi ambacho watu walio karibu na mastaa hao wamedai kuwa zimeitikisa ikulu ya Chibu. Wanadai kuwa Zari amekerwa na tetesi hizo na kwamba uhusiano wao umepata dosari. 

12797777_1677553662507605_1408288689_n
Wiki hii tetesi hizo zimevuma zaidi kiasi ambacho mashabiki wa Zari wamekuwa wakimmiminia matusi Lynn kwenye akaunti yake ya Instagram.

Inafurahisha kwasababu Lynn haoneshi kutikiswa na matusi hayo huku pia akipewa support kubwa kutoka kwa mashabiki ambao hawampendi Zari. Of Course Team Wema yote inaonesha kuwa nyuma yake!

Cha kuvutia zaidi ni kuwa Lynn ni msichana mdogo na mrembo sana kiasi ambacho wasiompenda Zari wanasema anafaa zaidi kuwa kifaa cha Bin Mondi. Kwa wengi hizi bado ni tetesi tu lakini kama ukiangalia post za nyumba za Lynn, utagundua kuwa alikuwa shabiki mkubwa wa Daimond kwakuwa amekuwa akiweka picha zake [Diamond] mara kwa mara.

Kubwa
10012561_1698384190423397_1266062110_n
Lynn ana kila sababu ya kuwa na wasiwasi sababu kuna mashabiki wanaoenda mbali zaidi kwa vitisho vyao.

“We see these stories going around & we are watching you. Ntakutoa meno. Utak*zwa kwa mk**u since you look like a hor*y bitch jumping on people’s husbands… you have been warned,” ameandika shabiki mmoja.

“Watch your steps. We already have a bajaji which followed you to your house. You like f**ing other people’s men? You will get whats coming to you. Stay away from mama tiffahs man. Ut**wa mal**a ww. Rudi kumpost tena,” ameongeza.

Lynn ana watetezi wengi pia.
“Aisee hata ningekua mimi bwanangu niskie ana mwanamke mzuri kunishinda lazma nitahangaika!! Khaaa si kwa uzuri huu Lynn,” ameandika shabiki mmoja.

“@zarithebosslady rudi kwenu BANANGE kule kijijini ulivoendaga kuroga siku ile basiii!! Ku****yo M***ya la mwaka 79 yani usitake nianze kukupa michambo,sawa? Eti omulunji,ushapewa kiki za kutosha k*** wewe ulikutwa na followers elfu moja sasa hivi una followers milion inaenda milion 2..haya fanya yako bibi la kupenda kiki mpaka linasahau kuwaangalia wanae!! Fanya mitende ile,halafu hukuchomaga kinga ya matende wewe ulivozaliwa eeeh?? Au enzi hizo uganda kinga zilikua bado hazijaingia?”

Hatari tupu! Acha tuone movie hii itaishia wapi! Mfahamu zaidi Lynn kwa picha zake hizo chini.
12917999_205133643196253_42235573_n
12826310_582582971895982_863049660_n
12825945_951472618264887_1178545026_n
12747661_948002948588060_171661368_n
12716961_957459444323031_1514314940_n
12599293_1246832102013248_1544433012_n
12530907_1811460449082622_738820174_n
12328027_865360636925265_1867668250_n
12106002_1729977020569659_275135064_n
10387845_1562611300722919_558593386_n
916042_1003190396431071_463545754_n
12816813_1708656342725657_1025825814_n
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top