Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MADEREVA DALADALA NA 'HATI MILIKI YA BARABARA ZA JIJI'


Huku mradi wa Mabasi ya mwendo kasi ukisubiriwa kwa hamu Jijini Dar es Salaam wengi wetu tumekuwa tukijiuliza maswali mengi mojawapo likiwa hizi daladala kweli zitauacha mradi huuu salama ?

Madereva daladala wamekuwa wakiendesha kama vile wana hati miliki ya barabara zote za jiji la Dar es salaam,hawajali watumiaji wengine wa barabara hizo.

Iwe kwa madereva wengine wa gari ndogo au watembea kwa miguu,madereva wa daladala wao hujiona ndio wenye miliki ya barabara.

Shaka yetu imejidhihirisha pale daladala moja lilipovamia njia ya Mabasi ya Mwendo kasi na kuligonga basi mojawapo maeneo ya magomeni mapepa.

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top