Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

BEI YA NYANYA YAPAA SOKONI



Bei ya nyanya katika masoko mbalimbali Jijini Dar es Salaam imepanda kulinganishwa na hali ilivyokuwa wiki mbili zilizopita.

Kwasasa bei ya jumla imepanda kutoka shilingi elfu 35 kwa sanduku na kufikia shilingi elfu 60 tofauti na hali ilivyokuwa nyuma.

Baadhi ya madalali wamesema kuwa bei imepanda kutokana na kiasi kidogo cha shehena ya nyanya kinachoingia sokoni hapo kwa sasa wanategemea nyanya kutoka kwa wakulima wa Arusha, Iringa na Makambako pekee.

Kwa upande wao baadhi ya wafanyabiashara wadogo wanaouza nyanya kupitia vipimo vya asili maarufu kama sado, wamesema kupanda kwa bei kumefanya biashara kuwa ngumu kwani wateja wamekuwa hawamudu ongezeko hilo la bei.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

1 comments:

Thanks for sharing, nice post! Post really provice useful information!

Giaonhan247 chuyên dịch vụ vận chuyển hàng đi mỹ cũng như dịch vụ ship hàng mỹ từ dịch vụ nhận mua hộ hàng mỹ từ trang ebay vn cùng với dịch vụ mua hàng amazon về VN uy tín, giá rẻ.

Reply

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top