Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Bunge limepitisha Bajeti ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Nyumba na Maendeleo na Makazi.



Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, aliwasilisha

makadirio ya matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha wa 2012/13.Leo Bunge limepitisha

Bajeti ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Nyumba na Maendeleo na Makazi....(Mapato na

Matumizi ) BaJeti ya Wizara Imepitaaa asbuhi ya hii ya Leo baada ya mapambano ya hoja toka

kwa wabunge haasa suala la ardhi ndilo lilikuwa changamoto kubwa kwa Wizara hiyo.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top