Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

HABARI ZA HIVI PUNDE:Ajali yatokea Wami



Basi la Simba Mtoto lililokuwa linaenda Tanga likiwa limegongana uso kwa uso na basi la Dar Express lililokuwa linatokea Arusha kuelekea Dar es Salaam maeneo ya Wami haikujulikana mara moja chanzo/sababu za ajali hiyo
Picha via Michuzi Blog


BREAKING NEWS:

Imetokea ajali eneo la Wami kati ya Mabasi ya Dar Express na basi la Simba,na majeruhi kupelekwa hospitali ya Chalinze kwa matibabu zaidi.



author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top