Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

SIMBA WALIWA HADI MANYOYA NA AZAM

AZAM: 1. Deogratius Munishi 2. Ibrahim Shikanda 3. Erasto Nyoni 4. Said Moradi 5. Agrey Moris 6. Kipre Bolou Michael 7. Kipre Tchetche 8. Salum Abubakar 9. John Bocco 10. Ibrahim Mwaipopo 11. Khamis Mcha Khamis Viali
SIMBA: 1: Juma Kaseja 2: Shomari Kapombe 3: Haruna Shamte 4: Juma Nyoso 5: Lino Masombo 6: Mussa Mudde 7: Jonas Mkude 8: Mwinyi Kazimoto 9: Felix Sunzu 10: Haruna Moshi 11: Uhuru Suleiman


UPDATE:Toka Uwanja Mkuu wa Taifa
Dakika 7: Felix Sunzu anaonyeshwa kadi ya njano kwa kumcheza madhambi mchezaji wa Azam

Dakika 12: Simba wanapoteza nafasi ya wazi

Dakika 13: Ramadhan Chombo Redondo anaingia kuchukua nafasi ya Kipre Bolou Michael


Dakika 17:John Boko anaipatia Azam goli

HALF TIME: Simba 0-1 Azam

Dakika 46: GOAL: Simba 0-2 Azam (John Boko)

Dakika 53: GOAL: Shomari Kapombe anaipatia Simba 1-2 Azam.

Baada ya goli la Shomari Kapombe mashabiki wa Simba wanaonekana kupata uhai, full shangwe uwanja wa Taifa

Dakika ya 70:Simba 1-2 Azam


Dakika 72: Goal Simba 1-3 Azam. Muuaji ni yule yule John Bocco

Dakika 83:Simba1-3 Azam

Mashabiki wa Simba mmoja mmoja wanaonekana wakitoka Uwanjani wakiwa wamekasirishwa

mno na matokeo haya japo mpira bado lolote laweza tokea.


Dakika 85: Goli la Felix Sunzu linakataliwa, alikuwa offside


FULL TIME SIMBA 1-3 AZAM



author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top