Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Korea Kaskazini wagomea mechi Olimpiki

Korea Kusini wagomea mechi ya Olimpiki

Timu ya kandanda ya wanawake kutoka Korea kaskazini waliondoka uwanjani kabal ya mechi ya ufunguzi ya mashindano ya Olimpiki mjini London baada ya ya bendera ya Korea kusini kupeperushwa kimakosa kando ya majina ya wachezaji katika runinga ya uwanjani.

Mechi hio dhidi ya Colombia katika mji wa Glasgow ilicheleweshwa kwa zaidi ya saa moja.

Mechio hio iliendelea baada ya waandaji wa michezo hio ya Olympiki kuomba msamaha, na Korea Kaskazini wakashinda kwa mabao mawili kwa nunge.

Kumwkuwa na uhasama kati ya Korea kusini na Kaskazini tangu kusitishwa vita dhidi ya nchi hizo mbili manmo mwaka wa 1953.

Chanzo:BBC Swahili

...........................................................................

Baadhi ya Picha zikionyesha tukio Hilo lilivyokuwa.

Anger: North Korean official Son Kwang Ho (second right) points furiously after the flag of arch-rivals South Korea is shown next to his players' faces by mistake

Afisa wa Timu ya Korea Kaskazini Son Kwang Ho akiwaelezea maofisa wa Olyimpiki inakuwaje bendera hiyo ya Korea Kusini kuwa sambasamba na majina ya timu yetu ya Korea Kaskazini.Hali ambayo maofisa hao waliomba radhi kwa kitendo hicho.

Shock: Horrified North Korean supporters watch on after the flag of their bitter rivals South Korea is displayed by mistake

Mashabiki hao wa Korea Kaskazini wakibaki vinywa wazi kwa kushangaa kitendo hichoi cha bendera ya Korea Kusini kuonyeshwa hapo badala ya Korea Kaskazini.

Not a good start: North Korea return to play after players walked off the pitch

Wachezaji wa Korea Kasakazini wakiwa wameondoka Uwanjani baada ya kubaini kosa hilo baadae walikubali kuingia tena Uwanjani.

The North Korean women's soccer team poses for a photograph before the group B match between Colombia and North Korea

Kikosi cha Timu ya wanawake ya Korea Kaskazini kikiwa tayari kwa mpambano.

Hasty Correction: The North Korean team did eventually take to the field after the right flag was displayed

Bendera ya Korea Kaskazini ikiwa imewekwa kwenye skrini kubwa uwanjani

Shock result: North Korea's players celebrate after winning 2-0 against Colombia

Wakishangilia baada ya kushinda mechi yao na Colombia kwa mabao mawili kwa nunge.

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top