Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Moto uliokuwa unawaka Kwenye Meli ya Mv Sahara II umezimwa

Moto ulikuwa unawaka kwenye Meli ya Sahara II iliyokuwa inasafiri kutoka Dar es Salaam kwenda

Mafia ikiwa na shehena ya mafuta ya dizeli mali ya TANESCO ulioanza kuwaka kutoka katika lori

moja lililokuwa limebebwa ndani ya meli hiyo umezimwa na wananchi pamoja na vikosi vya

usalama wilayani Mafia.Lori hilo linasadikiwa lilikuwa na hitilafu kwenye mfumo wake wa umeme

hivyo kusababisha moto huo.

Habari za mwanzo zilidai Meli hiyo ilikuwa na abiria habari ambazo zilikanushwa.

Chanzo:TBC Habari Jioni hii.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top