Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

TASWIRA 'KICHENI PATI' YA ANGANILE SANGA

Bibi harusi mtarajiwa Anganile Sanga akitabasamu alipokuwa Saloon

Mambo ya unywelee hapo...chezea wao !!
Wakiwa na nyuso za tabasamu Anganile Sanga(Kushoto) akiwa na matroni wake Merysiana Mhagama wakiwa wamependeza vilivyo katika shughuli hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Kilimanjaro Park
Waweza sema tabasamu ndio nyumbani hapo kwani kama uonavyo haliishi kwenye nyuso zao walipokuwa ukumbini humo wakifuatilia kwa makini yale aliyokuwa akielekezwa hiyo ilikuwa jana Jumapili

Akiwaongoza wageni waalikwa kupata chakula kilichoandaliwa kwa ajili yao


Mambo ya madikodiko hayo yakiwa ya kutosha
Bibie Anganile Sanga akipata chakula
Merysiana Mhagama akipata chakula huko akitabasamu vilivyo





Kucheza kwataka nafasi jamaniii..!!(ni kama vile anamuambia alie nyuma yake hapo) Pale burudani iliponoga kila mtu akijaribu kuonyesha umahiri wake wa kucheza.NI katika kicheni pati ya Bi.Anganile Sanga iliyofanyika katika Ukumbi wa Kilimanjaro Park maeneo ya Sinza iliyofana vilivyo.Anatarajiwa kufunga pingu za maisha Jumamosi tarehe 21.07.2012.

Picha na Mdau wa Blog.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

1 comments:

Mkuu.Mi namtakia kila la kheri huyu mdada Anganile.

Reply

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top