Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

LIVE MATCH CENTRE:YANGA 1 Vs 0 APR, FULL TIME(dk 120)


Kikosi cha Mabingwa Watetezi Kagame Cup 2012

YANGA imeingia Fainali baada ya kupata ushindi wa Goli moja kwa bila dhidi ya APR sasa kukutana uso kwa uso na AZAM katika Fainali inayotazamiwa kuwa kali na ya kukata na Shoka kutokana na wababe hao Azam kuwaondoa Simba katika Robo Fainali hivyo kutaka kuwadhihirishia Yanga kuwa wao ni Kiboko ya Vigogo nchini.

Dakika 30 za nyongeza Yanga 1-0 APR FT

Dakika ya 27:APR wanajitahidi kusukuma mashambulizi lakini Yanga wako imara kuosha hatari zote

Dakika ya 10 Hamis Kiiza anawainua mashabiki wa Yanga kwa kupachika bao la kwanza, ni baada ya kumalizika kwa dakika tisini, na kuongezwa kwa dakika 30

Baada ya kutoka sare ya 0 - 0 katika dakika 90 Mchezo umeongezwa dakika 30


Dakika ya 90 za mchezo zimemalizika, Young Africans 0 - 0 APR

Dakika ya 86, Young Africans inafanya mabadiliko anaingia Rashid Gumbo anatoka Shamte Ally

Dakika ya 85: Yanga (Tanzania) 0 - 0 APR (Rwanda)

Dakika ya 80: Yanga 0-0 APR

YANGA WAMECHARUKA dakika ya 76

Dakika ya 71: Yanga (Tanzania) 0 - 0 APR (Rwanda)

Milango bado migumu uwanja wa Taifa, Si Yanga si APR

Dakika ya 66, Said Bahanunzi anakosa bao la wazi

Dakika ya 60, Young Africans 0 -0 APR

Kipindi cha pili cha mchezo ndio kimeanza, Young Africans 0 -0 APR

Half Time: Yanga 0-0 APR

DaKika ya 42: YANGA O - 0 APR

Dakika 40: Yanga 0-0 APR

Hamis Kiiza na Godfrey Taita wamepata kadi za njano dakika ya 38

Dakika ya 33 YANGA 0 APR 0

Dakika ya 30, Young Africans 0 - 0 APR

Dakika ya 26, Young Africans inafanya mabadiliko anaingia Shamte Ally anatoka Juma Abdul

Dakika 20: Bado timu zinacheza kwa kushambuliana na hakuna iliyokwisha ona goli la mwenzake

Dakika ya 15, Young Africans 0 - 0 APR

Mpira ndio umeanza hapa uwanja wa Taifa - Nusu Fainali kati ya Young Africans Vs APR

YANGA wameanza hivi:
1.Ally Mustapha 'Barthez' - 1
2.Juma Abdul - 14
3.Oscar Joshua - 4
4.Nadir Haroub 'Cannavaro' (C) - 23
5.Kelvin Yondan - 5
6.Athuman Idd 'Chuji' - 24
7.Godfrey Taita - 17
8.Haruna Niyonzima - 8
9.Said Bahanunzi - 11
10.Hamis Kiiza 'Diego' - 20
11.David Luhende - 29
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top