Wanafunzi wa shule ya msingi Kawe B wakiwa darasani. Picha na HakiElimu
Mwalimu akiwa darasani kuitikia amri ya mahakama iliyowataka kurudi na kufundisha. Picha na HakiElimu
Wakati walimu wakiwa wanasubiri tamko la Chama Cha Walimu Tanzania kuhusu kukatisha mgomo, baadhi ya walimu wamerejea kazini siku ya leo na kuendelea kufundisha , HakiElimu imegundua. Mahudhurio katika baadhi ya shule zilizofikiwa na wadau wetu yalikuwa kama ifuatavyo:
- Shule ya Msingi Kawe B; walimu 17 kati ya 21
- Shule ya Msingi Ukwamani; walimu 15 kati ya 17
- Shule ya Msingi Makumbusho; walimu 25 kati ya 32
Via Haki Elimu https://www.facebook.com/notes/hakielimu/baadhi-ya-walimu-warejea-kazini/424628280912978
Post a Comment