Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MAJINA YA KATA ZITAKAZOFANYA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI,OKTOBA 2012


Tume ya Taifa ya Uchaguzi  (NEC), imetja majina ya Kata zitakazofanya uchaguzi 
mdogo wa Madiwani kutokana na wagombea walioshinda katika uchaguzi wa Madiwani 
uliofanyika Oktoba 31, 2010  baadhi yao kufariki, kupoteza sifa na kujiuzulu.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa tume hiyo, Jullius Mallaba, alisema maandalizi 
yamekamilika 
na upigaji kura utafanyika katika vituo vilivyotumika wakati wa uchaguzi mkuu 
wa mwaka 2010.

Aidha, Mallaba alisema watakaohusika katika upigaji kura ni wale walioandikishwa 
katika daftari la kudumu la wapiga kura ambapo wapiga kura wanatakiwa kwenda
 kwenye vituo vya kupigia kura wakiwa na kadi zao.

Mallaba alizitaja kata hizo ambazo uchaguzi utafanyika ni:
  • Arusha - Bangata 
  • Arusha - Daraja Mbili
  • Dodoma - Msalato
  • Dodoma - Mpwapwa 
  • Pwani/Bagamoyo - Magomeni
  • Geita - Lwezera 
  • Shinyanga - Bugarama
  • Shinyanga - Mwananza
  • Tanga/Korogwe - Vugiri 
  • Tanga/Korogwe - Tamota 
  • Lindi/Liwale - Makata 
  • Lindi/Nachigwea - Mnero
  • Njombe/Ludewa - Mlangali
  • Njombe/Makete - Luwumbu
  • Ruvuma/Mbinga - Mpepai 
  • Ruvuma/Songea - Mletele
  • Tabora/Sikonge - Ipole
  • Tabora - Miyenze 
  • Tabora - Karitu
  • Mbeya/Mbozi - Mpapa
  • Mwanza/Misungwi - Lubili
  • Kilimanjaro - Kilema Kusini
  • Kilimanjaro - Nanjara
  • Kilimanjaro - Neha 
  • Morogoro/Mvomero - Mtibwa 
  • Morogoro/Ulanga - Mahenge
  • Mtwara/Nanyumbu - Likokona
  • Mtwara/Newala - Kitangiri




author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top