Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MWENGE WA UHURU WAINGIA LONGIDO


 Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Honest Mwanossa akizungumza mara baada ya kukagua miradi ya Zahanati na Bwalo la wanafunzi katika Kata ya Mrangarini wilayani Arumeru, pembeni anayemsikiliza ni Diwani wa Kata hiyo Mathias Manga.
 Enzi za Mwalimu Nyerere Mwenge wa Uhuru haikuwa hivi, hapa umati wa watu ungekuwa umetanda barabara nzima lakini angalia hii. Hapa ni Kata ya Ngarenanyiki mahali ambapo Mwenge ulilala kwa wilaya ya Arumeru.
 Mkuu wa wilaya ya Arumeru mwenye tracksuit ya Kijani akimkabidhi Mwenge Mkuu wa wilaya ya Longido James Ole Millya makabidhiano hayo yalifanyika eneo la Tingatinga wilayani Longido.
Nimeiona miradi iliyopo ndani ya wilaya yako sasa mimi naondoka ndivyo anavyoonekana kusema kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa Honest Mwanossa mara baada ya kumaliza kufungua mradi wa Nyumba ya Mwalimu katika eneo la Tingatinga wilayani Longido mkoani Arusha.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top