Wanasiasa wawili wa Kenya
wanaotaraji kugombea uongozi na ambao wameshtakiwa na Mahakama ya
Uhalifu ya Kimataifa, ICC, kwa kuchochea fujo baada ya uchaguzi,
wametangaza rasmi kuwa wanaungana katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao.
Siku ya Ijumaa shirika la Kenya la kutetea haki (the International Centre for Peace and Conflict) lilifikisha kesi mahakama makuu kudai kuwa wanasiasa hao hawafai kushika madaraka.
Wanasiasa wengine maarufu wa Kenya piya wameshtakiwa na ICC.
Chanzo:www.bbc.co.uk/swahili

Post a Comment