Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MATHEW MNDEME:NIMEPOTEZA WALLET,NAOMBA MSAADA KWA ALIYEIOKOTA/IONA

Leo nimepoteza wallet yangu majira ya saa tano na nusu asubuhi. 
Sina hakika sana ni wapi lakini mara ya mwisho nimesihika nikiweka mafuta pale Total Petrol Station ya Mlimani City. Niliweka mafuta kisha nikalipa pesa. Nilipowaomba risiti yule muhudumu akaniomba nisogee mbele kidogo ningoje waniletee risiti maana kulikua na magari mengi kidogo yanatangoja huduma , hivyo nilisogeza mbele kidogo kisha nikapaki na ili kuokoa muda, nilishuka kumfuata aliyekua ananiletea risiti ili kuichukua. 

Sasa ninahisi nilipotoa pesa sikurudisha wallet mfukoni bali niliiweka juu ya mapaja na hivyo niliposhuka huenda niliingausha chini na sikugundua. Nimekuja kugundua tayari niko Ukonga nilipokuwa nakwenda. Nimejaribu kufuatilia sijaipata hadi sasa hivi. Ndani ya wallet kulikua na pesa si, vitambulisho, mastercards za bank tatu, leseni yangu ya udereva, kadi ya bima ya afya (green card), kitambulisho cha kazi na vitu vingine nisivyovikumbuka kwa haraka.

Business cards zilikua zimeniishia hivyo sina uhakika kama kuna kitu kilichokua na mawasiliano ya namna ya kunipata kama vile namba za simu. Kitambulisho changu cha kazi kinaonesha kuwa ni mwajirwa wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mlimani.

Kwa atakayekuwa ameikota ninaomba na ninatanguliza shukurani zangu kwa kunisaidia kunipa vilivyomo.

Namba zangu za simu kwa ajili ya mawasiliano ni:  0782 581941 au 0 713 581941  au 0756 581941

ASATENI.

Mathew Mndeme (MM)
  Department of Computer Science and Engineering 
  University of Dar es Salaam
  P.O. Box 35062, Dar es Salaam.
 
Phone: +255 (0) 782 581941 / 713 581941 / 756 581941
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top