Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MBUNGE GODBLESS LEMA AJICHANGANYA NA MASHABIKI''WAVUJA JASHO'' MECHI YA JKT OLJORO NA SIMBA


Mbunge wa Arusha Mjini,Godbless Lema akipanda jukwaa la 'walala hoi' Uwanja wa Shikh Amri Abeid mjini Arusha jana kuangalia mechi Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara,Kati ya Simba na JKT Oljoro.Tofauti na ilivyozoeleka kwa waheshimiwa wabunge kuwa wanakaa jukwaa la VIP Lema alivunja mwiko huo na kujichanganya na machalii hali iliyovutia watu wengi Uwanjani hapo.Mechi hiyo iliishia kwa JKT Oljoro 1-1 Simba.
(Picha na Bongo Stazz Blog)

''Karibu huku mheshimiwa..'' nikila mmoja akiwa na hamu ya kukaa karibu nae wakati alipokuwa anapanda Jukwaani alipojikuta anakaribishwa na kila shabiki akae karibu nae.

''naomba siti,nikae hapa ...'' Mhe.Lema akiomba nafasi ya kukaa huku mashabiki wengine nao wakibaki wakitabasamu kuona Mbunge wao akijichanganya nao.

Akijiandaa kukaa baada ya kupewa nafasi ya ili aweze kuangalia mechi vizuri.
Akishangiliwa na baadhi ya mashabiki Mhe.Lema bila wasiwasi akilifuatilia game akiwa na mashabiki wake Jukwaa la wavuja jasho kikiwa ni kitendo adhimu kuonyeshwa na waheshimiwa linapokuja suala la kuwa karibu na jamii.
Picha na Bongo Stazz Blog


author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top