Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari akizungumza na wananchi katika kata ya Maruanga . |
Baadhi ya wananchi katika kata ya Maruanga wakimshangilia Nassari ,(hayuko pichani) |
Nassari akiwaapisha wananchi katika kata ya Maruanga huku akiwataka kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. |
Mbunge
Joshua Nassari akiwaoesha wanachi magari mawili ya kubebea wagonjwa
aliyotoa kusaidia wakazi wa jimbo la Arumeru Mashariki. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini. |
Post a Comment