Askari polisi wakizuia ziara ya Mh Edward Lowassa ya kuwatembelea Wananchi na kusikiliza kero zao,
Akiwa ametokea kwenye soko la Tandale mapema leo asubuhi na Kuelekea Tandika ambapo alizungumza na wafanya biashara wa masoko hayo na kuelekea soko la Kariakoo ambapo askari walizuia ziara hiyo alipofika maeneo ya kongo akitokea barabara ya gerezani na kumtaka kuikatiza kwa kudai ni kulinda usalama huku amri hiyo ikitolewa na RPC wa mkoa wa Ilala Lucas J. Nkondya
Akiwa ametokea kwenye soko la Tandale mapema leo asubuhi na Kuelekea Tandika ambapo alizungumza na wafanya biashara wa masoko hayo na kuelekea soko la Kariakoo ambapo askari walizuia ziara hiyo alipofika maeneo ya kongo akitokea barabara ya gerezani na kumtaka kuikatiza kwa kudai ni kulinda usalama huku amri hiyo ikitolewa na RPC wa mkoa wa Ilala Lucas J. Nkondya
Picha kwa Hisani ya CHADEMA MEDIA
Post a Comment