Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

ZIARA YA KAMPENI YA MGOMBEA URAIS MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA JIMBONI VUNJO

Mgombea Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia umoja wa katiba ya wananchi UKAWA Mh. Edward Lowassa akihutubia mamia ya wakazi wa jimbo la Vunjo Mkoani Kilimanjaro.

Mgombea ubunge wa Jimbo la Vunjo Mh James Mbatia akihutubia katika mkutano wa kampeni jimbo la Vunjo.

Mh James mbatia akisalimiana na mgombea Urais Mh Edward Ngoyai Lowassa wakati alipowasili jimboni Vunjo kwenye mkutano wa kampeni za Urais na Ubunge.











author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top