Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

HAPA NA PALE KWENYE MSAFARA WA MGOMBEA WA URAIS MHE.LOWASSA ASIMAMISHWA UBUNGO ASALIMIE








Mgombea kiti cha Rais kupitia chama cha CHADEMA ,Edward Ngoyai Lowssa akisalimiana na wakazi wa Ubungo wakati alipokuwa anapita na kusimamishwa asalimie akiwa njiani kutoka Tabata Segerea, Dar es Salaam .Hayo ni Mahaba ya wana Ubungo Hii ni baada ya msafara wa mgombea wa UKAWA Edward Lowassa kusimamishwa ma maelfu ya wananchi wa Ubungo na kuamua kumsindikizwa mpaka Tandale.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top