Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MAKONDA AIBUKIA JIMBO LA KYELA AMNADI DK.HARRISON MWAKYEMBE

 
 
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akimpigia kampeni mgombea Ubunge wa Jimbo la Kyela kwa tiketi ya Chama cha mapinduzi, Dk. Harrison Mwakyembe.


Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya, Aman Kajuna akihutubia wakazi wa Wilaya ya Kyela katika mikutano ya Kampeni


Paul Makonda akiwanadi wagombea udiwani wa Kata mbali mbali za Jimbo la Kyela








Baadhi ya Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakimsikiliza kwa makini Mjumbe wa kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akimuombea Kura Dk. Mwakyembe.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top