Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro 
cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph 
Magufuli wakifurahia matokeo mara baada ya Mwenyekiti wa  Tume ya
 Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva  kutangaza kutangaza rasmi matokeo
 ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa 
pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni  jana 
jioni Oktoba 29, 2015
Mama
 Salma Kikwete akimpongeza mshindi wa kinyang'anyiro cha Urais kwa 
tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli mara baada 
ya Mwenyekiti wa Tais kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini 
Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa 
moja kupitia vituo vya televisheni jana jioni Oktoba 29, 2015
 Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro 
cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph 
Magufuli mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji 
Damian Lubuva kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu 
jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya 
moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jana jioni Oktoba 29, 2015
Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro 
cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph 
Magufuli mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji 
Damian Lubuva kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu 
jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya 
moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jana jioni Oktoba 29, 2015



 Mshindi
 wa kinyang'anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John 
Pombe Joseph Magufuli akipokea salamu za pongezi kutoka kwa mgombea 
Urais Mwanamke Pekee kwa tiketi ya ACT Wazlendo Mama Anna Mghira mara 
baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva 
kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es 
salaam ambako yeye na Rais Jakaya Mrisho Kikwete walifuatilia kwa pamoja
 matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni. Dkt 
Magufuli amemshukur sana Mama Mghwira na kumwita mkomavu wa siasa na 
mwana-Demokrasia wa mfano jana jioni Oktoba 29, 2015
Mshindi
 wa kinyang'anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John 
Pombe Joseph Magufuli akipokea salamu za pongezi kutoka kwa mgombea 
Urais Mwanamke Pekee kwa tiketi ya ACT Wazlendo Mama Anna Mghira mara 
baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva 
kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es 
salaam ambako yeye na Rais Jakaya Mrisho Kikwete walifuatilia kwa pamoja
 matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni. Dkt 
Magufuli amemshukur sana Mama Mghwira na kumwita mkomavu wa siasa na 
mwana-Demokrasia wa mfano jana jioni Oktoba 29, 2015
 



 
 
 
 
 
 
 
 
 
Post a Comment