Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro
cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph
Magufuli wakifurahia matokeo mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya
Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva kutangaza kutangaza rasmi matokeo
ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa
pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jana
jioni Oktoba 29, 2015
Mama
Salma Kikwete akimpongeza mshindi wa kinyang'anyiro cha Urais kwa
tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli mara baada
ya Mwenyekiti wa Tais kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini
Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa
moja kupitia vituo vya televisheni jana jioni Oktoba 29, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jana jioni Oktoba 29, 2015
Post a Comment