Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Bomoabomoa yaendelea Dar!


bomoa (12)-001 Tingatinga likishusha ukuta.
bomoa (9)-001bomoa (8)-001 bomoa (6)-001 bomoa (5)-001 Likizidi kubomoabomoa (4)-001Vifusi baada ya kubomoa.bomoa (3)-001 Wakazi wakitoa vitu vyao nje ya myumba wakati wa bomoabomoa.bomoa (2)-001 Wananchi wakitaharuki huku Jeshi la Polisi likiimarisha ulinzi na amani eneo la tukio.bomoa (1)-001
Namna ambavyo ukuta ulivyobomolewa.
MANISPAA ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam ikishirikiana na Wizara ya Ardhi inaendelea na oparesheni maalum ya kubomoa nyumba zilizojengwa kinyume na sheria katika manispaa yake, oparesheni hiyo leo imetinga maeneo ya Mbezi Beach na kuwakumba baadhi ya wakazi wa Mtaa wa Kwa Zena, Block K.


Kamera ya Global ikipita maeneo hayo leo asubuhi, imejionea zoezi hilo likitekelezwa kwa kutumia gari la ‘tinga tinga’ likivunja baadhi ya majengo yaliyojengwa kinyume na sheria mtaani hapo likiwemo moja ambalo mmiliki wake aliyetajwa kwa jina moja la Evans anadaiwa kuvamia eneo hilo na kuweka uzio kwa kujengwa ukuta, huku ikidaiwa kuwa kuwa, mmiliki halali wa eneo hilo ni mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina moja Halima.


Manispaa imesema kuwa, oparesheni hiyo ya bomoabomoa ni endelevu kwa watu wote waliovamia maeneo kiholela ama waliojenga kwenye maeneo ya wazi (open space) ambayo hayajapimwa na mamlaka husika.

PICHA: DENIS MTIMA NA DEOGRATIAS MONGELA/GPL
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top