Sukari Singida MeTL Shop
 
Baadhi ya wafanyabishara na wakazi wa manispaa ya Singida, wakiwa kwenye foleni ya kununua sukari kwenye duka la jumla jumla na reja reja la kampuni ya Mohammed Enterprises ltd mjini Singida, kama walivyokutwa na mpiga picha wetu mapema leo asubuhi. Duka la hilo limekuwa kimbilio kwa sababu linauza sukari kwa bei elekezi ya serikali ya shilingi 54,000 kwa mfuko wa kilo 25.
Sukari Singida MeTL Duka
Duka la MeTL Singida Sukari
Foleni ya sukari Singida
Salum Mwiru
Mmoja wa wafanyakazi wa duka la kampuni ya Mohammed Enterprises ltd la mjini Singida Salum Mwiru,akitoa mfuko wa sukari kwa mteja. 
(Picha na Nathaniel Limu).