Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

PICHA SABA KALI STAA WA ARSENAL PIERRE -EMERICK AUBAMEYANG AKIFANYA MAZOEZI CHINI YA UANGALIZI WA WENGER

 Mchezaji wa Arsenal aliyevunja rekodi ya uhamisho  Pierre-Emerick Aubameyang akifanya mazoezi peke yake baada ya kuingia mkataba wa £56millioni na Arsenal

 Aubameyang akisalimiana na Kocha wake  Arsene Wenger wakati akifanya mazoezi ya peke yake mchana wa leo alihamisi.


 Aubameyang akinoa uwezo wake wa kumiliki mpira huku akitizamwa na benchi la ufundi la Arsenal yakiwa ndio mazoezi yake ya kwanza.


 Aubameyang alivaa kiatu cha Nike  chenye chata yake ya  PEA17 /


 Aubameyang, ambaye anaweza kucheza mechi ya kwanza na Arsenal dhidi ya  Everton siku ya Jumamosi, akifanya mazoezi ya kukontroli mpira siku ya leo Alhamisi.


 Mchezaji huyo wa Kimataifa wa  Gabon , amabye amefunga magoli 21 msimu huu , akinyoosha misuli ya mwili wake.



Mchezaji staa wa zamani wa Borussia Dortmund akiendelea na mazoezi ya kucheza na mpira ,

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top